REYVANNY AWEKA HISTORIA MPYA KWENYE MUZIKI WA TANZANIA
Msanii anayepanda Kwa kasi kwenye industry ya muziki wa bongo fleva nchini ,Kutoka WCB
Reryvany ,ameweka historia mpya kwenye ramani ya muziki wa Tanzania baada ya kunyakuwa TUZO za BET yaani
(BLACKS ENTERTAINMENT TELEVISION). kwenye kategoria ya '" VIEWER'S CHOICE INTERNATIONAL ACT ARTIST''". Akiwashinda wasanii maarufu afrika kama Tekno wa Nigeria na stone boy.REYVANNY amekuwa msanii wa Kwanza Mtanzania kunyakuwa TUZO kwenye kinyang'anyiro hicho toka kuanzishwa Kwa tuzo hizo..
TAZAMA ALICHOKISEMA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA REYVANNY KUNYAKUWA TUZO HIYO.
Hiki ndicho alicho kiandika diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram
Mmmmh kaka diamond wewe Mungu anakuona ,ulimlenga nani kwani au ndiyo furaha mpaka imepitiliza!!
Hongera sana kaka diamond Kwa kumshika mkono kijana mwenzetu ila hongera nyingi zimuendee REYVANNY Kwa kujituma na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania..
posted from Bloggeroid
posted from Bloggeroid
SOMA HAPA VICHWA VYA HABARI VILIVYO TAWALA MAGAZETI YA LEO JUNE 24
Yamkini kutokana na sababu mbali mbali za kimaisha ,hukuweza kupitia magazetini na kujua yaliyoandikwa Leo hii...ila hujachelewa bado lufame tz tumekusogezea karibu yako ..
Bofya Link hiyo hapo usome yote yaliyomo magazetini Leo
Í
http://millardayo.com/mgnewjune24/
posted
Bofya Link hiyo hapo usome yote yaliyomo magazetini Leo
Í
http://millardayo.com/mgnewjune24/
posted
posted from Bloggeroid
SHABIKI MAARUFU WA KLABU YA YANGA FC AIAGA DUNIA KWA AJARI YA GARI
Mshabiki maarufu nchini wa timu ya Yanga ALLY YANGA, amepoteza maisha Leo hii 20/06/2017 , kwa ajari ya gari huko mkoani Dodoma maeneo ya ipogoro alipokuwa kwenye mbio za mwenge.
Kwa watu wote ambao ni wanafamilia wa michezo nchini ,basi jina la
ALLY YANGA halitakuwa geni masikioni mwake ,ni mshabiki aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye soka la Tanzania hasa kutokana na tabia yake ya kuifuata timu hiyo popote inapo enda huku akiwa amejipaka rangi mwilini mwake.
.
MUNGU AILAZE PEMA PEPONI ROHO YA ALLY YANGA-- AMEN
Kwa watu wote ambao ni wanafamilia wa michezo nchini ,basi jina la
ALLY YANGA halitakuwa geni masikioni mwake ,ni mshabiki aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye soka la Tanzania hasa kutokana na tabia yake ya kuifuata timu hiyo popote inapo enda huku akiwa amejipaka rangi mwilini mwake.
.
MUNGU AILAZE PEMA PEPONI ROHO YA ALLY YANGA-- AMEN
posted from Bloggeroid
MAJINA YA WANAFUNZI WALIO CHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO KWA MWAKA WA MASOMO 2017/2018
Majina ya wanafunzi waliopangiwa shule Kujiunga na kidato cha tano 2917/2018 yametolewa rasmi Leo ...
Nasi tumekuletea update kamili Kutoka TAMISEMI...
KUYAONA MAJINA HAYO
BONYEZA LINK HIYO HAPO CHINI
http://www.tamisemi.go.tz/form_five_selection_or/
HONGERA KWA KUTEMBELEA BLOG YANGU....Endelea KUTEMBELEA zaidi ujue mengi zaidi....www.lufametz.blogspot.com
Nasi tumekuletea update kamili Kutoka TAMISEMI...
KUYAONA MAJINA HAYO
BONYEZA LINK HIYO HAPO CHINI
http://www.tamisemi.go.tz/form_five_selection_or/
HONGERA KWA KUTEMBELEA BLOG YANGU....Endelea KUTEMBELEA zaidi ujue mengi zaidi....www.lufametz.blogspot.com
posted from Bloggeroid
Subscribe to:
Posts (Atom)