SHABIKI MAARUFU WA KLABU YA YANGA FC AIAGA DUNIA KWA AJARI YA GARI

Mshabiki maarufu nchini wa timu ya Yanga ALLY YANGA, amepoteza maisha Leo hii 20/06/2017 , kwa ajari ya gari huko mkoani Dodoma maeneo ya ipogoro alipokuwa kwenye mbio za mwenge.





Kwa watu wote ambao ni wanafamilia wa michezo nchini ,basi jina la
ALLY YANGA halitakuwa geni masikioni mwake ,ni mshabiki aliyejizolea umaarufu mkubwa kwenye soka la Tanzania hasa kutokana na tabia yake ya kuifuata timu hiyo popote inapo enda huku akiwa amejipaka rangi mwilini mwake.
.

MUNGU AILAZE PEMA PEPONI ROHO YA ALLY YANGA-- AMEN
posted from Bloggeroid