REYVANNY AWEKA HISTORIA MPYA KWENYE MUZIKI WA TANZANIA



Msanii anayepanda Kwa kasi kwenye industry ya muziki wa bongo fleva nchini ,Kutoka WCB

Reryvany ,ameweka historia mpya kwenye ramani ya muziki wa Tanzania baada ya kunyakuwa TUZO za BET yaani
(BLACKS ENTERTAINMENT TELEVISION). kwenye kategoria ya '" VIEWER'S CHOICE INTERNATIONAL ACT ARTIST''". Akiwashinda wasanii maarufu afrika kama Tekno wa Nigeria na stone boy.REYVANNY amekuwa msanii wa Kwanza Mtanzania kunyakuwa TUZO kwenye kinyang'anyiro hicho toka kuanzishwa Kwa tuzo hizo..


TAZAMA ALICHOKISEMA DIAMOND PLATNUMZ BAADA YA REYVANNY KUNYAKUWA TUZO HIYO.

Hiki ndicho alicho kiandika diamond kupitia ukurasa wake wa Instagram

Mmmmh kaka diamond wewe Mungu anakuona ,ulimlenga nani kwani au ndiyo furaha mpaka imepitiliza!!

Hongera sana kaka diamond Kwa kumshika mkono kijana mwenzetu ila hongera nyingi zimuendee REYVANNY Kwa kujituma na kuipeperusha vyema bendera ya Tanzania..

posted from Bloggeroid
posted from Bloggeroid

SOMA HAPA VICHWA VYA HABARI VILIVYO TAWALA MAGAZETI YA LEO JUNE 24

Yamkini kutokana na sababu mbali mbali za kimaisha ,hukuweza kupitia magazetini na kujua yaliyoandikwa Leo hii...ila hujachelewa bado lufame tz tumekusogezea karibu yako ..


Bofya Link hiyo hapo usome yote yaliyomo magazetini Leo

Í


http://millardayo.com/mgnewjune24/

posted

posted from Bloggeroid

SOMA MAGAZETI YA LEO JUNE 24 HAPA