BREAKING NEWS

  • JE, UTAOMBA MKOPO WA ELIMU YA JUU MWAKA HUU?

  • • ZIFUATAZO NI SIFA KUMI (10) ZA MSINGI

  • 1. Mwombaji awe Mtanzania.

  • 2. Mwombaji awe ameomba kudahiliwa na Chuo Kikuu au Taasisi ya Elimu 
  • ya Juu inayotambuliwa na Serikali.

  • 3. Asiwe mwanafunzi wa masomo ya jioni (Part time Student).

  • 4. Asiwe na udhamini/ufadhili/msaada wa kifedha kutoka katika vyanzo 
  • vingine.

  • 5. Awe ameomba mkopo kupitia mfumo wa mtandao (OLAMS).

  • 6. Awe amefaulu mitihani ya mwisho wa mwaka (wanaoendelea na masomo)
  • na matokeo yake kuwasilishwa Bodi ya Mikopo na chuo chake.

  • 7. Awe amemaliza Kidato cha Sita au awe na sifa linganishi (kama Diploma 
  • n.k) ndani ya miaka mitatu (2015/2016 – 2017/2018).

  • 8. Awe na umri usiozidi miaka 30 wakati wa kufanya maombi.

  • 9. Waombaji ambao wazazi wao ni Wakurugenzi au Mameneja Waandamizi 
  • katika Makampuni binafsi yanayotambuliwa na Mamlaka za Mapato na 
  • Usajili hawatarajiwi kuomba;

  • 10.Waombaji ambao wazazi wao ni viongozi wa umma au kisiasa ambao 
  • wanatajwa na Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma hawatarajiwi 
  • kuomba mikopo.
  • Mwisho wa kuomba mkopo in Septemba 4, 2017

  • Imetolewa na 
  • Bodi ya mikopo Kwa wanafunzi wa elimu ya juu
  • Tanzania HESLB
  • Na kuandikwa na Peter lugendo

No comments:

Post a Comment