MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2017

Baraza la Mitihani Tanzania, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na ule wa Maarifa (QT) leo juma nne 30,01,2018. Jijini Dar es salam .




Akitangaza matokeo hayo katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde ,amesema kuwa ufaulu wa wanafunzi kwa mwaka huu umeongezeka kwa asilimia 7 ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana.

“Jumla ya Watahiniwa 287,713 ambao sawa na asilimia 77.09%  kwa shule za kawaida na vituo vya kujitegemea wamefaulu ambao katika ya hao wasichana wapo 143,728 sawa na asilimia 75.21% wakati wavulana wapo 143,985 sawa na asilimia 79.06%. Mwaka jana wanafunzi waliofaulu mitihani ya kidato cha nne walikuwa 277,283 ambao ni asilimia 70.09% hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia"amesema MsondeBaraza la Mitihani Tanzania, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na ule wa Maarifa (QT) leo juma nne 30,01,2018. Jijini Dar es salaam.
 
             KUYAONA MATOKEO HAYO BOFYA HAPA

.
Mbali na hilo Msonde aliweza kuweka wazi kuwa jumla ya wanafunzi 265 wamebainika kufanya udanganyifu mbalimbali katika mitihani hiyo ambayo ilianza kufanyika Oktoba 30, 2016 mpaka Novemba 17, 2016 .



Endelea kutembelea blog hii tuzidi kukujuza mengi yaliyojili, ndani na nje ya nchi.
By blogger Peter Lugendo
posted from Bloggeroid

No comments:

Post a Comment