SHULE KUMI BORA NA SHULE KUMI ZA MWISHO KITAIFA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2017.

Katika matokeo hayo ya kidato cha nne, pamoja na kuwepo kwa upandaji wa ufaulu kwa asilimia 7, zipo shule zilizofanya vizuri zaidi kuliko nyingine na zile zilizofanya vibaya. Zifuatazo ni orodha ya shule 10, zilizofanya vizuri na zile zilizofanya vibaya.

Shule kumi (10) Bora kitaifa .

1. St. Francis Girls – Mbeya

2. Feza Boys – Dar es Salaam

3. Kemoboya – Kagera

4. Bethel Sabs Girls – Iringa

5. Anwarite Girls – Kilimanjaro

6. Marian Girls – Pwani

7. Canossa – Dar es salaam

8. Feza Girls – Dar es salaam

9. Marian Boys – Pwani

10. Shamsiye Boys – Dar es salaam


Shule Kumi (10) za Mwisho Kitaifa

1. Kusini – Kusini Unguja

2. Pwani Mchangani – Kaskazini Unguja

3. Mwenge SMZ – Mjini Magharibi

4. Langoni – Mjini Magharibi

5. Furaha – Dar es salaam

6. Mbesa – Ruvuma

7. Kabugaro – Kagera

8. Chokocho- Kusini Pemba

9. Nyeburu – Dar es salaam

10. Mtule – Kusini Unguja.
posted from Bloggeroid

No comments:

Post a Comment