BREAKING NEWS: BEI ZA APPLICATION ZA CHUO ZA SHUKA RASMI.

Hii ni baada ya gharama za kuomba nafasi za chuo kuonekana zikiwa juu,na kulalmikiwa na wadau mbali mbali wa elimu na wananchi ,sasa serikali kupitia mamlaka inayohusika na vyuo vikuu nchini TCU ,imeamua kuingilia kati swala hilo na kutoa bei elekezi kwa vyuo vyote nchini,kuwa application form za vyuo vyote zitolewe kwa Tsh 10,000/= tu.
Kutoka Tsh 30,000/= iliyokuwa ikitozwa na vyuo vingi nchini.

Wanafunzi wote kuanzia Jana walianza kufaidika na punguzo hilo la bei za kupata form za kuomba nafasi za vyuo nchini .kwa Tsh 10,000/=

Imetangazwa rasmi na TCU .

Ahsante sana kwa kutembelea blog yangu .endelea kutembelea blog hii Mara kwa Mara uwe wakwanza kupata taarifa mbali mbali muhimu. Huruhusiwi kukopi au kupest taarifa yoyote kwenye blog hii bila idhini ya blogger
Peter Lugendo.
www.lufametz@gmailcom
www.facebook.com/lufametz
www.YouTube.com/lufameTV

No comments:

Post a Comment