BODI YA MIKOPO YAFUNGUA RASMI MFUMO WA UOMBAJI MIKOPO

BODI YA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU NCHINI (HESLB)
Bodi hiyo inayohusika na kutoaji wa mikopo Kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini imetoa taarifa Kwa umma kuwa ,bodi hiyo itaanza kupokea maombi ya mikopo Kutoka Kwa wanafunzi watakao hitaji mikopo hiyo kwaajiri ya kusoma elimu ya juu.

Bodi hiyo imetangaza kuwa
wanafunzi wote wataanza kuomba mikopo kuanzia tarehe 06/08/2017 mpaka tarehe 04/09/2017

Miongoni mwa mambo ya msingi waliyo elekeza ni kwamba wanafunzi wanatakiwa kusoma Kwa umakini mwongozo wa uombaji mikopo k
Kwa mwaka mpya wa masomo (2017/2018)

Kusoma mwongozo na taarifa nyingine bofya link hiyo hapo nchini

https://olas.heslb.go.tz

Imetolewa na bodi ya mikopo Kwa wanafunzi wa elimu ya juu nchini (HESLB)

No comments:

Post a Comment